HABARI

 

Tuesday, September 17, 2013

KINANA, NAPE WAPATA HESHIMA YA UKAZI WILAYA MPYA YA ITIMILA, MKOA MPYA WA SIMIYU

0 Comments
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na viongozi wengine akiwa amekaa baada ya kusimikwa tena kuwa Chifu wa Wasukuma eneo la Migato, Itimila, leo. 
Katibu Mkuu wa CCM,Abdulrahaman Kinana akinywa kahawa aliyoinunua baada ya kuwasili  katika Kijiji cha Budalabujiga,wilaya mpya ya Itimila,mkoani Simiyu leo katika ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua utekelezaji wa Ilani chama.
Katibu wa  Itikadi  na Uebnezi wa CCM, Nape Nnauye akinywa kahawa katika Kijiji hicho
Katibu Mkuu wa CCM,Abdulrahaman Kinana akihutubia  wananchi baada ya kuwasili  katika Kijiji cha Budalabujiga,wilaya mpya ya Itimila,mkoani Simiyu leo katika ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua utekelezaji wa Ilani chama.
Kinana akikagua moja ya vyumba vya madarasa katika Shule ya Sekondari ya Kata ya Kanadi katika Kijiji cha Nanga wilauyani Itimila
 Kinana akiwahimiza wanafunzi wa Shule ya Kanadi kusoma sana masomo ya sayansi
Mwenyekiti wa UVCCM, Mkoa wa Simiyu,Njalu Silanga akitangaza kuchangia fedha kwa ajili ya kuweka kuweka umeme wa jua pamoja na kununua TV kwa ajuli ya shule ya Kanadi wilayani Itmila leo
 Nape akiwa na mtoto waliyemkuta na mamake katika Zahanati ya Nangale  Katika Kata ya Ndolelezi
Kinana akiondoka baada ya kukagua Zahanati ya Nangale, wilayani Itimila
 Kinana akikangalia maginia ya mahindi yaliyohifadhiwa katika ghala la Kikundi cha  Saccos katika Kijiji cha Mwanihunda wilayani humo. Kila mwananchi anayehifhadhi katika ghala hilo hulipa kila gunia sh. 100 kwa mwezi.
Kinana akisimikwa tena kuwa Mtemi wa Migato alipozungumza na wanachama wa shina namba 15 la Migato wakati wa ziara yake wilwywni Itimila leo. Alichangisha sh. mil. 3.6 za kutunisha mfuko wa Saccos ya Shina hilo.
Kinana akiwa amekaa huku akiwa amaevalia kitemi na fimbo yake.
Akinywa maji kwa kutumia kikombe cha jadi
Kinana  na viongozi wengin wakila chakula cha asili cha kabila la wasukuma cha Mchembe kinachotokana na viazi vilivuokaushwa
Kinana akisaidia kupiga plasta jengo la Ofisi za Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya mpya ya Itimila
Kinana akiapandamtu katika kiwanja patakapojengwa ofisi za Mkuu wa Wilaya mpya ya Itimila
Makao Makuu ya Muda ya Ofisi  Mkuu wa Wilaya ya Itimila
Dereva wa msafara wa Kinana akisaka mtandao kabla ya kuanza kupiga simu. Katika wilaya hiyo mpya inapatikana mitandao ya Vodacom  na Tigo
Kinana akiwa katika mkutano wa wandani na wanachama wa wilaya hiyo
 Kwaya ikitumbuiza wakati wa mkutano wa hadhara katika makao Makuu ya wilaya hiyo
Katibu wa Utikadi na Uenezi wa CCM,Nape Nnauye akihutubia katika mkutano huo wa hadhara


0 Comments:

Post a Comment