HABARI

 

Friday, December 21, 2012

MAHAKAMA YA RUFANI YAMREJESHEA UBUNGE LEMA

0 Comments

 Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (katikati) akiwa katika mahakama ya rufaa wakati wa hukumu ya rufaa ya mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema leo
 Wakili wa Godbless lema, Tundu Lissu (katikati)
Mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema akilakiwa na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya kushinda rufaa yake ya kupinga kuvuliwa ubunge wa Arusha mjini katika Mahakama ya Rufaa jijini Dar es Salaam. 
 Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiongozwa na mbunge wa Arushja Mjini, Godbless Lema kuelekea makao makuu ya chama hicho Kinondoni jijini Dar es Salaam
 Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiongozwa na mbunge wa Arushja Mjini, Godbless Lema kuelekea makao makuu ya chama hicho Kinondoni jijini Dar es Salaam
 Wakili wa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, Tundu Lissu akizungumza na wafuasi wa chama hicho makao makuu ya Chadema jijini Dar es Salaam
 Mbunge wa Ubungo John Mnyika akizungumza na wafuasi wa Chadema makao makuu ya chama hicho leo
 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe akizungumza na wanachama wa chama hicho waliokusanyika makao makuu ya chama hicho jijini Dar es Salaam jana baada ya mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema kushinda rufaa yake ya kupinga kuvuliwa ubunge katika jimbo hilo.
 Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema  akizungumza na wafuasi wa chama hicho waliokusanyika makao makuu ya chama hicho Kinondoni jijini Dar es Salaam
Dk. Slaa akizungumza

0 Comments:

Post a Comment